Marcus Rashford akiruka kwa ufundi kumalizia krosi nzuri ya Dan James kuifungia bao la kuongoza Manchester United dakika ya 36 kabla ya Adam Lallana kuisawazishia Liverpool dakika ya 85 timu hizo zikitoa sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Clarke recalls dodging crocodiles with Andrew Symonds on an outback road trip
-
Former Aussie skipper Michael Clarke has returned to his radio job and
shared a longer tribute to his former friend Andrew Symonds - including
their advent...
Dakika 30 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni