Mshambuliaji wa Brazil Neymar akimtoka Victor Osimhen wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Taifa wa Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Joe Aribo akianza kuifungia Nigeria dakika ya 35, kabla ya Casemiro kuisawazishia Brazil dakika ya 48 huku Neymar akitolewa dakika ya 12 tu baada ya kuumia, nafasi yake ikichukuliwa na Philippe Coutinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious NFL star Puka Nacua sparks yet more controversy with locker room
tweet that will likely land him a HUGE fine
-
The Rams were on the end of a gutting overtime loss to their rival Seattle
Seahawks on Thursday, with a bizarre two-point conversion at the heart of
the ho...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment