Mshambuliaji wa Brazil Neymar akimtoka Victor Osimhen wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Taifa wa Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Joe Aribo akianza kuifungia Nigeria dakika ya 35, kabla ya Casemiro kuisawazishia Brazil dakika ya 48 huku Neymar akitolewa dakika ya 12 tu baada ya kuumia, nafasi yake ikichukuliwa na Philippe Coutinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘That’s twice now:’ Venezuela father vows never to return after ‘miracle’
rescue from earthquake rubble
-
Still shaken by the devastation left by the recent earthquakes, Serrano
believes La Guaira is under a curse
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment