Mshambuliaji wa Brazil Neymar akimtoka Victor Osimhen wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Taifa wa Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Joe Aribo akianza kuifungia Nigeria dakika ya 35, kabla ya Casemiro kuisawazishia Brazil dakika ya 48 huku Neymar akitolewa dakika ya 12 tu baada ya kuumia, nafasi yake ikichukuliwa na Philippe Coutinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pasqal CEO: Aramco deal shows quantum computing moving from research to
reality
-
Investing.com -- Pasqal, the neutral-atom quantum computing company
preparing to go public via SPAC merger with Bleichroeder Acquisition Corp.
II (NASDAQ: ...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment