Antonio Candreva akikimbia kushangilia kifua wazi baada ya kuifungia Inter Milan bao la pili dakika ya 89 kufuatia Lautaro Martinez kufunga la kwanza dakika ya 22 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lily Allen defends West End Girl tour amid criticism
-
Lily Allen has defended her choice not to speak to the audience during the
show.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment