Antonio Candreva akikimbia kushangilia kifua wazi baada ya kuifungia Inter Milan bao la pili dakika ya 89 kufuatia Lautaro Martinez kufunga la kwanza dakika ya 22 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
India making no promises about debut for 15-year-old cricket sensation
Sooryavanshi
-
Vaibhav Sooryavanshi, India’s 15-year-old cricket sensation, might have to
wait a while longer before making his senior international debut.
Anticipation w...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment