MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo akishangilia kibabe baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 65, likiwa 699 jumla kwake kufunga pamoja na mechi za klabu katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Luxembourg usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020. Mabao mengine ya Ureno yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Goncalo Guedes dakika ya 89 Uwanja wa Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua fights back tears as he dedicates dramatic victory over
Kristian Prenga to two best friends killed in car crash as he recovers from
TWO knockdowns to win on return
-
CHARLOTTE DALY IN JEDDAH: Joshua, twice dropped by Prenga in the first
round before knocking him out in the second, admitted it had been 'tough'.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment