MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo akishangilia kibabe baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 65, likiwa 699 jumla kwake kufunga pamoja na mechi za klabu katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Luxembourg usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020. Mabao mengine ya Ureno yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Goncalo Guedes dakika ya 89 Uwanja wa Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bazball has had its soul ripped out and been exposed as a flippant,
disrespectful, unserious attitude to cricket, writes OLIVER HOLT - but
here's why Ben Stokes should NOT quit after Adelaide humiliation
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: This was the day Jerusalem fell. It will not be
built here. That dream is over. Sunday was really a matter of reading
Bazball the ...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment