MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo akishangilia kibabe baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 65, likiwa 699 jumla kwake kufunga pamoja na mechi za klabu katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Luxembourg usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020. Mabao mengine ya Ureno yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Goncalo Guedes dakika ya 89 Uwanja wa Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Embarrassment for USA as woeful loss to Italy risks World Baseball Classic
elimination... despite coach thinking they were already through
-
With a roster stacked with stars such as Aaron Judge, Paul Skenes, Bryce
Harper and Cal Raleigh, the Americans were beaten 8-6 by their rivals in
Pool B an...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment