Cristiano Ronaldo akiifungia Ureno bao la kufutia machozi kwa penalti dakika ya 72 baada ya Stepanenko wa Ukraine kuunawa mpira kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa NSK Olimpiki mjini Kiev, hilo likiwa nao lake la 700 tangu aanze soka. Ukraine ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Roman Yaremchuk dakika ya sita na Andriy Yarmolenko dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Xabi Alonso 'set to announce his decision to STAY at Bayern Leverkusen
today'... with Liverpool left in the lurch as they continue to look for
Jurgen Klopp's successor
-
Xabi Alonso is set to announce his decision to stay at Bayern Leverkusen
during their press conference later today.
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment