Cristiano Ronaldo akiifungia Ureno bao la kufutia machozi kwa penalti dakika ya 72 baada ya Stepanenko wa Ukraine kuunawa mpira kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa NSK Olimpiki mjini Kiev, hilo likiwa nao lake la 700 tangu aanze soka. Ukraine ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Roman Yaremchuk dakika ya sita na Andriy Yarmolenko dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hodgkinson beaten to European gold by rival Werro
-
Keely Hodgkinson is forced to settle for European silver as Switzerland's
Audrey Werro denies the Briton a third consecutive title in a thrilling
800m final.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment