• HABARI MPYA

    Sunday, October 13, 2019

    ITALIA YANG'ARA KUFUZU EURO 2020, YAITANDIKA UGIRIKI 2-0

    Wachezaji wa Italia wakishangilia baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Ugiriki usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi J kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Olimpico mjini Roma, mabao ya Jorginho kwa penalti dakika ya 63 na Federico Bernardeschi dakika ya 78 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ITALIA YANG'ARA KUFUZU EURO 2020, YAITANDIKA UGIRIKI 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top