Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 34 na 75 katika ushindi wa 5-1 wa Barcelona dhidi ya Real Valladolid usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Clement Lenglet dakika ya pili, Arturo Vidal dakika ya 29 na Luis Suarez dakika ya 77, wakati la Real lilifungwa na Kiko Olivas dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pasqal CEO: Aramco deal shows quantum computing moving from research to
reality
-
Investing.com -- Pasqal, the neutral-atom quantum computing company
preparing to go public via SPAC merger with Bleichroeder Acquisition Corp.
II (NASDAQ: ...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment