Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 34 na 75 katika ushindi wa 5-1 wa Barcelona dhidi ya Real Valladolid usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Clement Lenglet dakika ya pili, Arturo Vidal dakika ya 29 na Luis Suarez dakika ya 77, wakati la Real lilifungwa na Kiko Olivas dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Troubled AFL star Ben Cousins plays for the West Coast Eagles for the first time in 16 years
-
Footy legend Ben Cousins has taken to the field in a West Coast Eagles
jersey for the first time since 2007, with the troubled footy star's
redemption stor...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment