Bondia Mfaransa Sofiane Takoucht (kushoto) akienda chini baada ya kuchapwa konde na Muingereza Josh Warrington katika raundi ya pili ya pambano la ngumi za kulipwa uzito wa Feather usiku wa jana ukumbi wa First Direct Arena mjini Leeds, England. Warrington alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili na kutetea taji la IBF kwa mara ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheltenham Festival LIVE: Tips and results from Champions Day as Kopek Des
Bordes, Lossiemouth and The New Lion headline action-packed opening day
-
Follow Daily Mail Sport's live blog of day one at the 2026 Cheltenham
Festival as we bring you the latest tips, racecards and results from one of
the bigge...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment