Bondia Mfaransa Sofiane Takoucht (kushoto) akienda chini baada ya kuchapwa konde na Muingereza Josh Warrington katika raundi ya pili ya pambano la ngumi za kulipwa uzito wa Feather usiku wa jana ukumbi wa First Direct Arena mjini Leeds, England. Warrington alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili na kutetea taji la IBF kwa mara ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham made a mess of their game with Liverpool, almost forced their way
back in but lost again - Thomas Frank's side are still prone to
self-implode as proven with two needless red cards, writes MATT BARLOW
-
MATT BARLOW AT THE TOTTENHAM HOTSPUR STADIUM: Thomas Frank's team found the
fight before Christmas. Not until they were two goals behind and down to 10
men...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment