Bondia Mfaransa Sofiane Takoucht (kushoto) akienda chini baada ya kuchapwa konde na Muingereza Josh Warrington katika raundi ya pili ya pambano la ngumi za kulipwa uzito wa Feather usiku wa jana ukumbi wa First Direct Arena mjini Leeds, England. Warrington alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili na kutetea taji la IBF kwa mara ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Slot a leading candidate to succeed Klopp
-
Feyenoord's Arne Slot is a leading candidate to take over as Liverpool
manager at the end of the season.
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment