Bondia Mfaransa Sofiane Takoucht (kushoto) akienda chini baada ya kuchapwa konde na Muingereza Josh Warrington katika raundi ya pili ya pambano la ngumi za kulipwa uzito wa Feather usiku wa jana ukumbi wa First Direct Arena mjini Leeds, England. Warrington alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili na kutetea taji la IBF kwa mara ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US House committee opens investigation into Merck, AbbVie China drug trials
-
By Deena Beasley June 30 (Reuters) - A bipartisan group of U.S. lawmakers
has opened national security investigations into whether five drugmakers
includin...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment