Beki Michael Keane wa Everton akinyoosha mkuu kumzuia mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana. Matokeo hayo yanaifanya Liverpool ijiongezee pointi moja na kufikisha 70 katika mechi ya 29, sasa ikizidiwa pointi moja na Manchester City wanaoongoza, wakati Everton inabaki nafasi ya 10 baada ya kufikisha pointi 37 katika mchezo wa 29 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England rugby star Billy Vunipola arrested after violent incident at pub in
Majorca with police tasering him twice after he threatened customers and
staff with bottles and chairs
-
The 31-year-old had to be tasered twice after police rushed to a bar called
Epic in the island capital Palma following calls from security staff.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment