Beki Michael Keane wa Everton akinyoosha mkuu kumzuia mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana. Matokeo hayo yanaifanya Liverpool ijiongezee pointi moja na kufikisha 70 katika mechi ya 29, sasa ikizidiwa pointi moja na Manchester City wanaoongoza, wakati Everton inabaki nafasi ya 10 baada ya kufikisha pointi 37 katika mchezo wa 29 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia vs Egypt - World Cup last-32 LIVE: Latest score, team news and
updates as Socceroos take on Mohamed Salah and Co in Dallas
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Australia take on Egypt in a World Cup last-32 clash at the
Dallas Stadi...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment