Beki Michael Keane wa Everton akinyoosha mkuu kumzuia mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana. Matokeo hayo yanaifanya Liverpool ijiongezee pointi moja na kufikisha 70 katika mechi ya 29, sasa ikizidiwa pointi moja na Manchester City wanaoongoza, wakati Everton inabaki nafasi ya 10 baada ya kufikisha pointi 37 katika mchezo wa 29 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ajadi hails Arowosaye’s appointment as Pacesetter Minerals Chairman
-
By Seyi Babalola The Oyo Central Senatorial candidate under the banner of
Team Seyi Makinde, Ambassador Olufemi Ajadi Oguntoyinbo, has congratulated
Hon....
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment