Memphis Depay (kushoto) na Georginio Wijnaldum wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-0 Uholanzi dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa kwanza wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjini Rotterdam. Depay alifunga mawili dakika ya kwanza na 55 kwa penalti na Wijnaldum alifunga la pili dakika ya 21, wakati la nne lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: 76ers Didn't File Formal Protest over Officiating After G2 Loss
to Knicks
-
The Philadelphia 76ers declared their intentions to file a grievance with
the NBA over the officiating in the first two games of their first-round
playoff…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment