Memphis Depay (kushoto) na Georginio Wijnaldum wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-0 Uholanzi dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa kwanza wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjini Rotterdam. Depay alifunga mawili dakika ya kwanza na 55 kwa penalti na Wijnaldum alifunga la pili dakika ya 21, wakati la nne lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
THE NOTEBOOK: Darwin Nunez fails to impress with a new hairstyle and
Caoimhin Kelleher struggles in Alisson's absence as Liverpool continue
winning streak at Anfield
-
AADAM PATEL AT ANFIELD: Trent Alexander-Arnold scored an 88th minute winner
as Liverpool came from behind to seal a 4-3 win over Fulham in a thrilling
enco...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment