Memphis Depay (kushoto) na Georginio Wijnaldum wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-0 Uholanzi dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa kwanza wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjini Rotterdam. Depay alifunga mawili dakika ya kwanza na 55 kwa penalti na Wijnaldum alifunga la pili dakika ya 21, wakati la nne lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2023: We will go ahead with convention – PDP
-
From Ndubuisi Orji, Abuja Peoples Democratic Party (PDP) has said it will
proceed with its national convention, despite the extension of the deadline
for...
Dakika 2 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni