Mkongwe Fabio Quagliarella akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Italia dakika za 35 na 45 na ushei yote kwa penalti katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Liechtenstein kwenye mchezo wa Kundi J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Ennio Tardini mjini Parma. Mabao mengine ya Italia yalifungwa na Stefano Sensi dakika ya 17, Marco Verratti dakika ya 32, Moise Kean dakika ya 69 na Leonardo Pavoletti dakika ya 76 na kwa ushindi huo The Azzurri inafikisha pointi sita kufuatia kushinda mechi zake zote mbili za mwanzo ikifuatiwa na Ugiriki yenye pointi nne. Mechi nyingine za kundi hilo jana Bosnia-Herzegovina ililazimishwa sare ya 2-2 Ugiriki mjini Zenica na Finland ikawachapa wenyeji, Armenia 2-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
USA fans beg Donald Trump to get Folarin Balogun 'pardoned' for the next
game after disastrous World Cup red card
-
Gianni Infantino's well-documented deference to Donald Trump has led
Americans to plead for the President to intervene over Folarin Balogun's
disastrous re...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment