Eden Hazard akishangilia na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 45 kwa penalti na 88 katika ushindi wa 3-1 wa Ubelgiji dhidi ya Urusi usiku wa jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussells, Ubelgiji. Bao lingine la la Ubelgiji lilifungwa na Youri Tielemans dakika ya 24, wakati bao la Urusi lilifungwa na Denis Cheryshev dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Clippers Guard Joshua Primo Won't Be Charged for Alleged Indecent Exposure
-
A Texas district attorney's office announced on Friday the dismissal of
indecent exposure charges against Los Angeles Clippers guard Joshua Primo
due to…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment