Eden Hazard akishangilia na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 45 kwa penalti na 88 katika ushindi wa 3-1 wa Ubelgiji dhidi ya Urusi usiku wa jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussells, Ubelgiji. Bao lingine la la Ubelgiji lilifungwa na Youri Tielemans dakika ya 24, wakati bao la Urusi lilifungwa na Denis Cheryshev dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag 'will see his pay cut by a QUARTER' if Man United fail to make
next season's Champions League as Dutch coach fights to save his job
-
The Dutch coach is under intense pressure with United likely to fall short
of a top four finish in the Premier League and a place in Europe's top
competition.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment