Mshambuliaji Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 51 kwa penalti na 59 akimalizia pasi ya Toni Kroos katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Real Valladolid katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Manispaa wa Jose Zorrilla mjini Valladolid. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Raphael Varane dakika ya 34 na Luka Modric dakika ya 85, wakati la Real Valladolid lilifungwa na Anuar Tuhami dakika ya 29. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 51 baada ya kucheza mechi 27, ingawa inabaki nafasi ya tatu sasa ikizidiwa pointi tano na Atlético Madrid wanaoshika nafasi ya pili nyuma ya Barcelona wanaoongoza kwa pointi zao 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ahmedu congratulates Nigeria, Cote d’Ivoire on U-19 World Cup qualification
-
FIBA Africa Zone 3 President, Col. Sam Ahmedu (Rtd), has applauded Nigeria
and Cote d’Ivoire for securing places at the 2027 FIBA U19 World Cups,
followi...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment