Mshambuliaji Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 51 kwa penalti na 59 akimalizia pasi ya Toni Kroos katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Real Valladolid katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Manispaa wa Jose Zorrilla mjini Valladolid. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Raphael Varane dakika ya 34 na Luka Modric dakika ya 85, wakati la Real Valladolid lilifungwa na Anuar Tuhami dakika ya 29. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 51 baada ya kucheza mechi 27, ingawa inabaki nafasi ya tatu sasa ikizidiwa pointi tano na Atlético Madrid wanaoshika nafasi ya pili nyuma ya Barcelona wanaoongoza kwa pointi zao 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Alarming amount Jadon Sancho has cost Man United as he heads for
exit, fan's plea for answers over alleged assault during sit-in protest and
why Aston Villa game could be pivotal for summer transfer window - Man
United Confidential
-
Sancho has played more times for other clubs than United since he joined
five years ago. He has 12 goals and six assists in 83 games for United, and
nine g...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment