Mshambuliaji Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 51 kwa penalti na 59 akimalizia pasi ya Toni Kroos katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Real Valladolid katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Manispaa wa Jose Zorrilla mjini Valladolid. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Raphael Varane dakika ya 34 na Luka Modric dakika ya 85, wakati la Real Valladolid lilifungwa na Anuar Tuhami dakika ya 29. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 51 baada ya kucheza mechi 27, ingawa inabaki nafasi ya tatu sasa ikizidiwa pointi tano na Atlético Madrid wanaoshika nafasi ya pili nyuma ya Barcelona wanaoongoza kwa pointi zao 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The 2024 Kentucky Derby: Date, time, how to watch, distance and how much
the winner will take home from the $5million prize pot as the race's 150th
anniversary is clouded by who will not be in the race
-
This weekend twenty of the fastest horses will descend on the Churchill
Downs race track this weekend for the Kentucky Derby. Here is everything
you need t...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment