Moto ukiwaka uwanjani kufuatia mashabiki wa Panathinaikos kuwavamia na kuwafanyia vurugu kwenye benchi wachezaji wa Olympiacos wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Ugiriki ambao ulilazimika kusimama kwa dakika nane kuanzia dakika ya nne tangu kuanza kwa mchezo huo wa mahasimu wa Athens Uwanja wa OAKA ili Polisi watulize vurugu hizo. Mechi iliendelea na Olympiacos ikashinda 1-0, bao pekee la Guerrero dakika ya 53 ingawa Panathinaikos iko hatarini kupokonywa pointi baada ya vurugu hizo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Guardiola calls on Man City players to enjoy the moment this weekend
-
Manchester City coach Pep Guardiola has called on his players and fans to
embrace the pressure that comes with being just a win away from another
Premier L...
Dakika 45 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni