Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia kwa furaha baada ya kuifungia England hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 24, 62 na 68 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Jamhuri ya Czech kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Three Lions yalifungwa na Harry Kane kwa penalti dakika ya 45 na Tomas Kalas aliyejifunga dakika ya 84. Mechi nyingine ya Kundi A jana, Bulgaria ililazimishwa sare ya 1-1 na Montenegro jana mjini Sofia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United enter the race for in-demand Leipzig forward Dani Olmo
who has a £52m release clause this summer - but face competition from Real
Madrid, Man City, Chelsea and Tottenham for the Spain international
-
SIMON JONES: The 25-year-old Spain international is continuing to excel at
Red Bull Leipzig and has a clause that becomes active this summer when he
can le...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment