Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia kwa furaha baada ya kuifungia England hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 24, 62 na 68 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Jamhuri ya Czech kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Three Lions yalifungwa na Harry Kane kwa penalti dakika ya 45 na Tomas Kalas aliyejifunga dakika ya 84. Mechi nyingine ya Kundi A jana, Bulgaria ililazimishwa sare ya 1-1 na Montenegro jana mjini Sofia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NPWF honours Eze Njoku, calls for government support for professional
wrestling
-
The Nigeria Professional Wrestling Federation (NPWF) has honoured Eze Amb.
Nicholas Emenike Njoku, Eze Ndigbo of Ejigbo LCDA, Lagos, with a National
Awar...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment