Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia kwa furaha baada ya kuifungia England hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 24, 62 na 68 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Jamhuri ya Czech kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Three Lions yalifungwa na Harry Kane kwa penalti dakika ya 45 na Tomas Kalas aliyejifunga dakika ya 84. Mechi nyingine ya Kundi A jana, Bulgaria ililazimishwa sare ya 1-1 na Montenegro jana mjini Sofia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Shohei Ohtani was NOT aboard private jet from Anaheim to Toronto
as disappointed Blue Jays fans learn the flight in question was really
carrying Shark Tank's Robert Herjavec
-
In what must have been a first for both men, baseball sensation Shohei
Ohtani was mistaken for Canadian businessman and Shark Tank star Robert
Herjavec on ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment