Nico Schulz akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani bao la ushindi dakika ya 90 ikiwalaza wenyeji, Uholanzi 3-2 katika mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam. Ujerumani ilitangulia kwa mabao ya Leroy Sane dakika ya 25 na Serge Gnabry dakika ya 34, kabla ya Uholanzi kusawazisha kupitia kwa Matthijs De Ligt dakika ya 48 na Memphis Depay dakika ya 63. Mechi nyingine ya kundi hilo jana, Ireland Kaskazini iliichapa Belarus 2-1 na sasa inaongoza kwa pointi zake sita, ikifuatiwa na Uholanzi pointi tatu sawa na Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Top English boxing coach Mick Driscoll, 54 - who is well-known by the
sports' biggest names - is charged with three counts of sexual assault... a
year after he was sacked following allegations against him
-
MIKE KEEGAN: An England boxing coach - well-known to some of the sport's
biggest names - has been charged with sexual assault.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment