Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia kwa staili ya Wakanda Forever katika filamu ya Black Panther baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za tano na 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Rennes kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates. Bao lingine lilifungwa na Ainsley Maitland-Niles dakika ya 15 na Arsenal inafuzu Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3 baada ya kufungwa 3-1 kwenye mchezo wa kwanza Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Todd Boehly's £4.25bn Chelsea takeover clears FINAL hurdle as Portugal's government authorise sale
-
The Portuguese government has authorised the sale of Chelsea by Roman
Abramovich, with an announcement now expected 'imminently'.
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni