Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia kwa staili ya Wakanda Forever katika filamu ya Black Panther baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za tano na 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Rennes kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates. Bao lingine lilifungwa na Ainsley Maitland-Niles dakika ya 15 na Arsenal inafuzu Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3 baada ya kufungwa 3-1 kwenye mchezo wa kwanza Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NPWF honours Eze Njoku, calls for government support for professional
wrestling
-
The Nigeria Professional Wrestling Federation (NPWF) has honoured Eze Amb.
Nicholas Emenike Njoku, Eze Ndigbo of Ejigbo LCDA, Lagos, with a National
Awar...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment