Mwanasoka Bora wa Dunia, Luka Modric wa Croatia akipiga hesabu wakati wa mchezo wa Kundi E kufuzu Euro 2020 dhidi ya wenyeji, Hungary Uwanja wa Groupama Arena mjini Budapest jana. Hungari ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Adam Szalai dakika ya 34 na Mate Patkai dakika ya 76 huku la Croatia likifungwa na Ante Rebic dakika ya 13 na mechi nyingine ya kundi hilo jana, Wales iliifunga 1-0 Slovakia mjini Cardiff PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Zach Ertz Eyed by Chiefs, Bills amid Eagles, Ravens Buzz After
Release
-
Free agent tight end Zach Ertz appears to have plenty of suitors as the
later stages of the NFL season inch closer. Ertz was waived by the Arizona
Cardinals…
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment