Jorginho akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 31 ikiilaza 2-1 Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Craven Cottage. Chelsea ambayo jana ilitangulia kwa bao la Gonzalo Higuaín dakika ya 20 kabla ya Calum Chambers kuisawazishia Fulham dakika ya 27, kwa ushindi huo inafikisha pointi 56 baada ya kucheza mechi 28, ikiendelea kushika nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
RAW after WrestleMania RESULTS: Seth Rollins and Paul Heyman reveal a third
man, top WWE star turns heel and a major talent returns after five years
away
-
Seth Rollins and Paul Heyman were the talk of the industry on Saturday
night after their stunning heel turn at the close of WrestleMania 41's
night one and...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment