Jorginho akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 31 ikiilaza 2-1 Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Craven Cottage. Chelsea ambayo jana ilitangulia kwa bao la Gonzalo Higuaín dakika ya 20 kabla ya Calum Chambers kuisawazishia Fulham dakika ya 27, kwa ushindi huo inafikisha pointi 56 baada ya kucheza mechi 28, ikiendelea kushika nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TOM RYAN: Everyone thinks a Cork and Limerick final is a done deal but if
Clare forget about the feck-acting, they can give the Treaty a right fright
-
We have the weekend of all weekends upon us. The surprising thing is not to
have the champions of last year, Tipperary, involved.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment