Jorginho akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 31 ikiilaza 2-1 Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Craven Cottage. Chelsea ambayo jana ilitangulia kwa bao la Gonzalo Higuaín dakika ya 20 kabla ya Calum Chambers kuisawazishia Fulham dakika ya 27, kwa ushindi huo inafikisha pointi 56 baada ya kucheza mechi 28, ikiendelea kushika nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Alarming amount Jadon Sancho has cost Man United as he heads for
exit, fan's plea for answers over alleged assault during sit-in protest and
why Aston Villa game could be pivotal for summer transfer window - Man
United Confidential
-
Sancho has played more times for other clubs than United since he joined
five years ago. He has 12 goals and six assists in 83 games for United, and
nine g...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment