Kiungo wa Cagliari, Nicolo Barella akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Italia dakika ya saba katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Finland kwenye mchezo wa J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Dacia Arena mjini Udine. Bao la pili la The Azzuri lilifungwa na Moise Kean dakika ya 74 wakati mechi nyingine za kundi hilo, Ugiriki ilishinda 2-0 ugenini dhidi ya Liechtenstein mjini Vaduz na Bosnia-Herzegovina ikaichapa 2-1 Armenia mjini Sarajevo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Red Sox SS Xander Bogaerts Exits with Injury vs. Mariners After Verdugo Collision
-
Boston Red Sox shortstop Xander Bogaerts suffered an unspecified injury in
Friday's game against the . SOURCING, ETC. Despite this setback,...
Saa 1 iliyopita
0 maoni:
Chapisha Maoni