Kiungo wa Cagliari, Nicolo Barella akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Italia dakika ya saba katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Finland kwenye mchezo wa J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Dacia Arena mjini Udine. Bao la pili la The Azzuri lilifungwa na Moise Kean dakika ya 74 wakati mechi nyingine za kundi hilo, Ugiriki ilishinda 2-0 ugenini dhidi ya Liechtenstein mjini Vaduz na Bosnia-Herzegovina ikaichapa 2-1 Armenia mjini Sarajevo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shane Van Gisbergen on the four things that MUST change with Supercars as
he leaves to chase his NASCAR dream
-
Decorated Supercars driver Shane Van Gisbergen has outlined the four
changes the sport must make as he moves onto the next chapter in his career
behind the...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment