Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akijaribu kuwatoka mabeki wa Ukraine usiku wa jana Uwanja wa Luz mjini Lisbon katika mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 alipokuwa akiichezea Ureno kwa mara ya kwanza tangu baada ya Fainali za kombe la Dunia mwaka jana Urusi. Timu hizo hazikufungana na mechi nyingine ya Kundi B jana, Luxembourg iliichapa Lithuania 2-1 mjini Luxembourg PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mahama, Obasanjo, Shettima to speak at GJF 2026 Democracy Dialogue in Bauchi
-
African leaders, eminent jurists and democracy advocates, including the
President of Ghana, John Dramani Mahama; Nigeria's Vice President, Senator
Kashim...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment