Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Barcelona dakika ya 71 na 89 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Camp Nou. Kwa ushini huo, Barcelona inafikisha pointi 69 baada ya kucheza mech 29 na kuendelea kuongoza La Liga, ikifuatiwa na Atletico Madrid pointi 56 na Real Madrid pointi 54
Ahmedu congratulates Nigeria, Cote d’Ivoire on U-19 World Cup qualification
-
FIBA Africa Zone 3 President, Col. Sam Ahmedu (Rtd), has applauded Nigeria
and Cote d’Ivoire for securing places at the 2027 FIBA U19 World Cups,
followi...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment