Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Barcelona dakika ya 71 na 89 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Camp Nou. Kwa ushini huo, Barcelona inafikisha pointi 69 baada ya kucheza mech 29 na kuendelea kuongoza La Liga, ikifuatiwa na Atletico Madrid pointi 56 na Real Madrid pointi 54
Cowboys Rumors: Ezekiel Elliott's Reps Meeting at Facility Ahead of 2024
NFL Draft
-
The Dallas Cowboys hosted a visit with a representative for free-agent
running back Ezekiel Elliott, according to Josina Anderson of CBS Sports.
Elliott sp...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment