Mshambuliaji wa Wolverhampton Wanderers, Raul Jimenez (katikati) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 70 ikiilaza Manchester United 2-1 katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Bao la pili lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 76, wakati bao la Man United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brendon McCullum wants England to take risks to become the best Team team in the world
-
The Kiwi, boldly chosen by Rob Key to drag England off the bottom of the
World Test Championship, will look at how his friend, Eoin Morgan,
transformed Eng...
Dakika 54 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni