Mshambuliaji wa Wolverhampton Wanderers, Raul Jimenez (katikati) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 70 ikiilaza Manchester United 2-1 katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Bao la pili lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 76, wakati bao la Man United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
El-Sayed Speaks With Obama As Michigan Democrats Seek Unity
-
Michigan Democratic Senate nominee Abdul El-Sayed has spoken with former
U.S. President Barack Obama as Democrats seek to unite following a divisive
primary.
14 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment