Sadio Mane akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 29 na 90 na ushei katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 19 na 67, wakati ya Burnley yamefungwa na Ashley Westwood dakika ya sita na Johann Berg Gudmundsson dakika ya 90 na ushei na kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 73 baada ya kucheza mechi 30 ikiendelea kushika nafasi ya pili nyuma ya Manchester City yenye pointi 74 za mechi 30 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Barnsley 1-3 Bolton: Dion Charles' first leg double helps Wanderers take
control of League One play-off semi-final as Randell Williams nets at the
death to leave Tykes with a mountain to climb
-
ADAM SHERGOLD AT OAKWELL: it's Ian Evatt's side who begin with a commanding
advantage in the return on Tuesday night - but they had to win this twice.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment