Sadio Mane akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 29 na 90 na ushei katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 19 na 67, wakati ya Burnley yamefungwa na Ashley Westwood dakika ya sita na Johann Berg Gudmundsson dakika ya 90 na ushei na kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 73 baada ya kucheza mechi 30 ikiendelea kushika nafasi ya pili nyuma ya Manchester City yenye pointi 74 za mechi 30 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eddie Howe outlines challenge for his Newcastle players after Champions
League draw with Barcelona
-
Eddie Howe urged his Newcastle side to replicate the levels of their
performance against Barcelona on a more consistent basis.Newcastle led
through Harvey ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment