Sadio Mane akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 29 na 90 na ushei katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 19 na 67, wakati ya Burnley yamefungwa na Ashley Westwood dakika ya sita na Johann Berg Gudmundsson dakika ya 90 na ushei na kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 73 baada ya kucheza mechi 30 ikiendelea kushika nafasi ya pili nyuma ya Manchester City yenye pointi 74 za mechi 30 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Moment referee is left CONFUSED at VAR during controversial decision to
rule out West Ham's stoppage-time equaliser against Arsenal as full audio
from season's most dramatic incident is revealed
-
The ref asked to be given a 'clue' as he reviewed footage of Callum
Wilson's stoppage-time equaliser, which he eventually ruled out.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment