Sergio Aguero na Bernardo Silva wakishangilia pamoja baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Manchester City dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Craven Cottage mjini London. Silva alifunga dakika ya tano na Aguero dakika ya 27 na kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 31, ikirejea kileleni mwa Ligi Kuu England, sasa ikiizidi pointi moja Liverpool ambayo kesho itamenyana na Tottenham Hotspur Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Shohei Ohtani was NOT aboard private jet from Anaheim to Toronto
as disappointed Blue Jays fans learn the flight in question was really
carrying Shark Tank's Robert Herjavec
-
In what must have been a first for both men, baseball sensation Shohei
Ohtani was mistaken for Canadian businessman and Shark Tank star Robert
Herjavec on ...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment