Sergio Aguero na Bernardo Silva wakishangilia pamoja baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Manchester City dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Craven Cottage mjini London. Silva alifunga dakika ya tano na Aguero dakika ya 27 na kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 31, ikirejea kileleni mwa Ligi Kuu England, sasa ikiizidi pointi moja Liverpool ambayo kesho itamenyana na Tottenham Hotspur Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League forced to move clash between Tottenham and Nottingham Forest
at 10 DAYS' notice due to train and tube strikes... as next weekend's game
is brought forward 24 hours to unusual kick-off time
-
In a statement, they said: 'The Premier League apologises unreservedly to
supporters of both Clubs, and all those affected, for the inconvenience and
disru...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment