Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiugulia maumivu jana wakati wa mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 dhidi ya Serbia usiku wa jana Uwanja wa Luz mjini Lisbon timu hizo zikitoka sare ya 1-1 kufutia kuumia nyama za paja kabla ya kutolewa dakika ya 31 tu nafasi yake ikichukuliwa na Pizzi. Kwa sare ya pili mfululizo jana, Ureno inashika nafasi ya tatu kwa pointi zake mbili nyuma ya Luxembourg pointi tatu na Ukraine pointi nne. Na hiyo baada ya jana Ukraine kuwachapa wenyeji, Luxembourg 2-1 mjini Luxembourg katika mchezo mwingine wa kundi hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ahmedu congratulates Nigeria, Cote d’Ivoire on U-19 World Cup qualification
-
FIBA Africa Zone 3 President, Col. Sam Ahmedu (Rtd), has applauded Nigeria
and Cote d’Ivoire for securing places at the 2027 FIBA U19 World Cups,
followi...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment