Eden Hazard akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 10 kabla ya Michy Batshuayi kufunga la pili dakika ya 18 Ubelgiji ikiwalaza wenyeji, Cyprus 2-0 katika mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Neo GSP mjini Nicosia. Hazard amekamilisha mechi 100 za kuichezea Ubelgiji, huku mechi nyingine za kundi hilo jana Urusi iliikung'uta Kazakhstan 4-0 mjini Astana na Scotland ikaifunga 2-0 San Marino mjini Serravalle PICHA ZAIDI GONGA HAPA
USA fans beg Donald Trump to get Folarin Balogun 'pardoned' for the next
game after disastrous World Cup red card
-
Gianni Infantino's well-documented deference to Donald Trump has led
Americans to plead for the President to intervene over Folarin Balogun's
disastrous re...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment