Eden Hazard akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 10 kabla ya Michy Batshuayi kufunga la pili dakika ya 18 Ubelgiji ikiwalaza wenyeji, Cyprus 2-0 katika mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Neo GSP mjini Nicosia. Hazard amekamilisha mechi 100 za kuichezea Ubelgiji, huku mechi nyingine za kundi hilo jana Urusi iliikung'uta Kazakhstan 4-0 mjini Astana na Scotland ikaifunga 2-0 San Marino mjini Serravalle PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Red Bull mastermind is 'set to leave' after Christian Horner sexting
scandal engulfed the team - and 'could join Lewis Hamilton at Ferrari next
season'
-
A Red Bull supremo is reportedly set to leave the team and will announce
his decision soon. He has has informed Red Bull that he wants to move on.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment