Eden Hazard akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 10 kabla ya Michy Batshuayi kufunga la pili dakika ya 18 Ubelgiji ikiwalaza wenyeji, Cyprus 2-0 katika mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Neo GSP mjini Nicosia. Hazard amekamilisha mechi 100 za kuichezea Ubelgiji, huku mechi nyingine za kundi hilo jana Urusi iliikung'uta Kazakhstan 4-0 mjini Astana na Scotland ikaifunga 2-0 San Marino mjini Serravalle PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ahmedu congratulates Nigeria, Cote d’Ivoire on U-19 World Cup qualification
-
FIBA Africa Zone 3 President, Col. Sam Ahmedu (Rtd), has applauded Nigeria
and Cote d’Ivoire for securing places at the 2027 FIBA U19 World Cups,
followi...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment