Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la pili kwa penalti dakika ya 51 ikishinda 3-1 dhidi ya Rayo Vallecano kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barcelona yamefungwa na Gerard Pique dakika ya 38 na Luis Suarez dakika ya 82, wakati bao pekee la Rayo Vallecano limefungwa na Raúl de Tomás dakika ya 24. Barcelona inafikisha pointi 63 baada ya ushindi huo katika mchezo wa 27, ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya Atletico Madrid inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Mo Salah BLANKED Jurgen Klopp at full-time as new footage shows
Liverpool star ignore his manager after heated exchange between the pair
during draw with West Ham
-
Footage has emerged showing Mo Salah blanking Jurgen Klopp at full-time
during Liverpool 's 2-2 draw with West Ham .
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment