Nahodha Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Hispania kwa penalti dakika ya 71 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Norway kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Mestalla mjini Valencia. Hispania ilitangulia kwa bao la Rodrigo dakika ya 16 kabla ya Joshua King kuisawazishia Norway kwa penalti dakika ya 65 na mechi nyingine za kundi hilo, Sweden iliichapa 2-1 Romania mjini Solna na Malta ikaifunga 2-1 Faroe Islands mjini Ta'Qali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment