Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 18, 45 na ushei na 85 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Bao lingine lilifungwa na Luis Suarez dakika ya 63 huku la Betis likifungwa na Loren Moron dakika ya 82 na kwa ushindi huo Barcelona inafikisha pointi 66 baada ya kucheza mechi 28 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi 10 zaidi ya Atletico Madrid walio nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
USA fans beg Donald Trump to get Folarin Balogun 'pardoned' for the next
game after disastrous World Cup red card
-
Gianni Infantino's well-documented deference to Donald Trump has led
Americans to plead for the President to intervene over Folarin Balogun's
disastrous re...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment