Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 18, 45 na ushei na 85 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Bao lingine lilifungwa na Luis Suarez dakika ya 63 huku la Betis likifungwa na Loren Moron dakika ya 82 na kwa ushindi huo Barcelona inafikisha pointi 66 baada ya kucheza mechi 28 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi 10 zaidi ya Atletico Madrid walio nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mahama, Obasanjo, Shettima to speak at GJF 2026 Democracy Dialogue in Bauchi
-
African leaders, eminent jurists and democracy advocates, including the
President of Ghana, John Dramani Mahama; Nigeria's Vice President, Senator
Kashim...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment