Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 18, 45 na ushei na 85 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Bao lingine lilifungwa na Luis Suarez dakika ya 63 huku la Betis likifungwa na Loren Moron dakika ya 82 na kwa ushindi huo Barcelona inafikisha pointi 66 baada ya kucheza mechi 28 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi 10 zaidi ya Atletico Madrid walio nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment