Mshambuliaji Kylian Mbappe akiifungia Ufaransa bao la nne dakika ya 87 usiku wa jana Uwanja wa Zimbru mjini Chisinau ikiwalaza wenyeji, Moldova 4-1 katika mchezo wa ufunguzi Kundi H kufuzu Euro 2020. Mabao mengine ya Ufarana yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 24, Raphael Varane dakika ya 27 na Olivier Giroud dakika ya 36, wakati la Moldova lilifungwa na Vladimir Ambros dakika ya 89 na mchezo mwingine wa Kundi H, Iceland pia imeshinda ugenini 2-0 dhidi ya Andorra Uwanja wa Taifa mjini Andorra la Vella, mabao ya kiungo Birkir Bjarnason dakika ya 22 na mshambuliaji Vioar Orn Kjartansson dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea suffer fresh blow as Enzo Fernandez will MISS the rest of the
season with groin injury... with £107m midfielder to undergo surgery to be
fit in time for the Copa America
-
Enzo Fernandez will miss the remainder of the Premier League season after
undergoing surgery to address a groin injury in time for the Copa America.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment