Mshambuliaji wa Simba SC, Adam Salamba akimdhibiti beki wa Ruvu Shooting, Tumba Lui Swedi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0.
Beki Mghana wa Simba SC, Nicholas Gyan (kushoto) akipiga hesabu za kumpokonya mpira winga wa Ruvu Shooting, Emmanuel Martin (kulia)
Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga (kushoto) akipiga mpira jana dhidi ya mchezaji wa Ruvu Shooting
Kikosi cha Simba SC kilichoanza kwenye mechi ya jana dhidi ya Ruvu Shooting
Kikosi cha Ruvu Shooting kilichoanza kwenye mechi ya jana dhidi ya Simba SC
Super-woke AFL legend Bob Murphy's radio career with the ABC gets off to a
disastrous start
-
Robert 'Bob' Murphy was a revered figure in his footy career with the
Western Bulldogs across 312 games - but he's not feeling the love from
Melburnians an...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment