Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 26 na 84 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Bayern Munich kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Bao lingine la limefungwa na Virgil van Dijk dakika ya 69, wakati la Bayern Munich Joel Matip alijifunga dakika ya 39 na kwa ushindi huo, Liverpool inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya sare ya 0-0 kwenye mchezo wa kwanza England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tributes pour in after NFL hopeful AJ Simon tragically dies aged 25... as
fellow draft prospect Jared Verse reveals he spoke to late former teammate
shortly before passing: 'Rest easy big man!'
-
More tributes honoring late NFL Draft prospect Amitral 'AJ' Simon have
poured out on social media on Thursday.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment