Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 26 na 84 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Bayern Munich kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Bao lingine la limefungwa na Virgil van Dijk dakika ya 69, wakati la Bayern Munich Joel Matip alijifunga dakika ya 39 na kwa ushindi huo, Liverpool inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya sare ya 0-0 kwenye mchezo wa kwanza England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League club summer 2022 friendly fixtures
-
The 2021/22 English Premier League season is now behind us and teams are
gearing up for the 2022/23 campaign. The new season is set to kick off on
6 Augus...
Dakika 33 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni