Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 17 kwa penalti na 78 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Lyon kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 31, Gerard Pique dakika ya 81 na Ousmane Dembele dakika ya 86, wakati la Lyon limefungwa na Lucas Tousart dakika ya 58 na Barcelona inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya sare ya 0-0 kwenye mchezo wa kwanza Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
USA fans beg Donald Trump to get Folarin Balogun 'pardoned' for the next
game after disastrous World Cup red card
-
Gianni Infantino's well-documented deference to Donald Trump has led
Americans to plead for the President to intervene over Folarin Balogun's
disastrous re...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment