Marcus Rashford akiteleza kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 28, kabla ya Anthony Martial kufunga la pili dakika ya 72 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford ambayo bao lake limefungwa na Abdoulaye Doucoure dakika ya 90 usiku wa leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Kwa ushindi huo wa kwanza baada ya kocha Ole Gunnar Solskjaer kusaini mkataba wa miaka mitatu kuwa kocha wa kudumu, Man United inafikisha pointi 61 baada ya kucheza mechi 31 na kurejea nafasi ya nne ikiizidi pointi moja Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dak Prescott Rumors: QB's Stance on Contract Revealed as Cowboys Deny False
Narrative
-
Despite not having a sense of urgency to get a contract extension done with
Dak Prescott, the Dallas Cowboys aren't necessarily looking to move on from
their…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment