Mshambuliaji na Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya timu yake kuchapwa mabao 3-1 na Venezuela Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid kwenye mchezo wa kirafiki. Mabao ya Venezuela yalifungwa na Salomon Rondon dakika ya sita, Jhon Murillo dakika ya 44 na Josef Martinez dakika ya 75 kwa penalti wakati la Argentina lilifungwa na Lautaro Martínez dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis super fan who went viral for Emma Raducanu support is EVICTED from
Australian Open by police during Alex de Minaur match
-
The tennis super fan who became a viral sensation for his support of Brit
Emma Raducanu has experienced a complete backflip of fortunes after police
ejecte...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment