Mshambuliaji na Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya timu yake kuchapwa mabao 3-1 na Venezuela Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid kwenye mchezo wa kirafiki. Mabao ya Venezuela yalifungwa na Salomon Rondon dakika ya sita, Jhon Murillo dakika ya 44 na Josef Martinez dakika ya 75 kwa penalti wakati la Argentina lilifungwa na Lautaro Martínez dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is grass court video proof Nick Kyrgios will take on Bernard Tomic in $2million showdown?
-
Nick Kyrgios has been spotted training on a grass tennis court in the wake
of rival Bernard Tomic's challenge to take part in a winner-takes-all
showdown w...
Dakika 7 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni