Mshambuliaji na Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya timu yake kuchapwa mabao 3-1 na Venezuela Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid kwenye mchezo wa kirafiki. Mabao ya Venezuela yalifungwa na Salomon Rondon dakika ya sita, Jhon Murillo dakika ya 44 na Josef Martinez dakika ya 75 kwa penalti wakati la Argentina lilifungwa na Lautaro Martínez dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigerian fans drive SuperSport’s 19.1bn World Cup Digital Views
-
Nigerian football fans were among the biggest participants in SuperSport’s
digital FIFA World Cup 2026 experience, accounting for 21.2 percent of
users o...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment