Mshambuliaji na Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya timu yake kuchapwa mabao 3-1 na Venezuela Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid kwenye mchezo wa kirafiki. Mabao ya Venezuela yalifungwa na Salomon Rondon dakika ya sita, Jhon Murillo dakika ya 44 na Josef Martinez dakika ya 75 kwa penalti wakati la Argentina lilifungwa na Lautaro Martínez dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA charges Tonali over alleged betting rules breaches
-
The Football Association charges Newcastle United midfielder Sandro Tonali
with misconduct in relation to alleged breaches of the governing body's
betting ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment