Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil mabao mawili dakika za 83 na 90 ikiichapa Jamhuri ya Czech 3-1 kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Sinobo mjini Praha. Bao lingine la Brazil lilifungwa na Roberto Firmino dakika ya 49, wakati la Czech lilifungwa na David Pavelka dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
USA fans beg Donald Trump to get Folarin Balogun 'pardoned' for the next
game after disastrous World Cup red card
-
Gianni Infantino's well-documented deference to Donald Trump has led
Americans to plead for the President to intervene over Folarin Balogun's
disastrous re...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment