Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil mabao mawili dakika za 83 na 90 ikiichapa Jamhuri ya Czech 3-1 kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Sinobo mjini Praha. Bao lingine la Brazil lilifungwa na Roberto Firmino dakika ya 49, wakati la Czech lilifungwa na David Pavelka dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United star 'could return to his former club' this summer after
revealing plans to leave Old Trafford
-
The 33-year-old is out of contract at Old Trafford in June and after
silence from the club about their plans for the future he is preparing to
seek a new c...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment