Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil mabao mawili dakika za 83 na 90 ikiichapa Jamhuri ya Czech 3-1 kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Sinobo mjini Praha. Bao lingine la Brazil lilifungwa na Roberto Firmino dakika ya 49, wakati la Czech lilifungwa na David Pavelka dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The night Burna Boy captured Milton Keynes
-
By the time I arrived at the National Bowl in Milton Keynes with three of
my sons, the reggae star Masicka was already holding court. The Jamaican
singer...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment