Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil mabao mawili dakika za 83 na 90 ikiichapa Jamhuri ya Czech 3-1 kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Sinobo mjini Praha. Bao lingine la Brazil lilifungwa na Roberto Firmino dakika ya 49, wakati la Czech lilifungwa na David Pavelka dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man, 42, paraded over sexual abuse of 12-year-old boy
-
Operatives of the Edo State Police Command have paraded a 42-year-old man,
identified as Oji Okoro, for allegedly sexually abusing a 12-year-old boy.
The...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment