Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil mabao mawili dakika za 83 na 90 ikiichapa Jamhuri ya Czech 3-1 kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Sinobo mjini Praha. Bao lingine la Brazil lilifungwa na Roberto Firmino dakika ya 49, wakati la Czech lilifungwa na David Pavelka dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Antonio Gates Says Chargers Shouldn't Fire Brandon Staley amid NFL
Rumors
-
Brandon Staley has at least one advocate remaining amidst the Los Angeles
Chargers' disappointing 4-7 season—former superstar tight end Antonio
Gates. "You…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment