Wachezaji wa Hispania wakimpongeza mwenzao, Paco Alcacer baada ya kufunga mabao mawili dakika za nane na 29 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Wales kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Principality mjini Cardiff. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Sergio Ramos dakika ya 19 na Marc Bartra dakika ya 74, wakati la Wales lilifungwa na Sam Vokes dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea handed the Premier League's biggest EVER fine and a suspended
transfer ban for rule breaks - but silence remains on Man City's 115 charges
-
Chelsea are primed to be hit with a series of sanctions by the Premier
League over illicit payments to agents.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment