Wachezaji wa Hispania wakimpongeza mwenzao, Paco Alcacer baada ya kufunga mabao mawili dakika za nane na 29 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Wales kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Principality mjini Cardiff. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Sergio Ramos dakika ya 19 na Marc Bartra dakika ya 74, wakati la Wales lilifungwa na Sam Vokes dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: What the Iranian soccer players wanted to know about Australia
when they were rescued - and why they were afraid of Aussie cops
-
It can now be revealed why the five Iranian footballers granted asylum
initially feared for their future in Australia.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment