Wachezaji wa Hispania wakimpongeza mwenzao, Paco Alcacer baada ya kufunga mabao mawili dakika za nane na 29 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Wales kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Principality mjini Cardiff. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Sergio Ramos dakika ya 19 na Marc Bartra dakika ya 74, wakati la Wales lilifungwa na Sam Vokes dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Park cricketer's gruelling day with bat in hand to raise funds for Beyond
Blue
-
A local Victorian cricketer has turned heads after batting for 12 hours
straight to raise money for mental health charity Beyond Blue.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment