Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia ushindi wao wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Rodinghausen ya Daraja la Nne kwenye mchezo wa Kombe la Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Bremer Brucke mjini Osnabruck. Mabao ya Bayern Munich yalifungwa na Sandro Wagner dakika ya nane na Thomas Muller dakika ya 13 kwa penalti huku Renato Sanches akikosa penalti dakika ya 23 na bao la Rodinghausen lilifungwa na Linus Meyer dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment