Kiungo Mbrazil, Marcelo akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 55 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Viktoria Plzen ya Jamhuri ya Czech usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la Real Madrid lilifungwa na Mfaransa Karim Benzema dakika ya 11, wakati la wageni lilifungwa na Patrik Hrosovsky dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🔴 ⚪ Liverpool v Real Madrid: Three key tactical battles
-
The stage is set for arguably the biggest match in world football as Real
Madrid face Liverpool in the UEFA Champions League final on Saturday
night. It w...
Dakika 12 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni