Kiungo Mbrazil, Marcelo akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 55 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Viktoria Plzen ya Jamhuri ya Czech usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la Real Madrid lilifungwa na Mfaransa Karim Benzema dakika ya 11, wakati la wageni lilifungwa na Patrik Hrosovsky dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Howie Schwab dead at 63: Dick Vitale announces passing of the star of hit
trivia show 'Stump the Schwab' and longtime ESPN personality after 'various
health issues'
-
Longtime ESPN personality Howie Schwab has died of 'various health issues,'
according to friend Dick Vitale.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment