Wachezaji wa Manchester United, Paul Pogba, Anthony Martial na Romelu Lukaku wakiwasili katika hoteli ya Hilton jana jirani kabisa na Uwanja wa Old Trafford kuweka kambi ya kujiandaa na mchezo wao wa leo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Juventus kuhofia kupigwa faini na UEFA tena baada ya kuchelewa uwanjani katika mchezo dhidi ya Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Colorado's Deion Sanders weighs in on wagering as gambling scandal ripples
through college football
-
DENVER (AP) — Nobody has lived on the edge of the risk-reward nature of
sports more than Deion Sanders over the years.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment