Wachezaji wa Manchester United, Paul Pogba, Anthony Martial na Romelu Lukaku wakiwasili katika hoteli ya Hilton jana jirani kabisa na Uwanja wa Old Trafford kuweka kambi ya kujiandaa na mchezo wao wa leo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Juventus kuhofia kupigwa faini na UEFA tena baada ya kuchelewa uwanjani katika mchezo dhidi ya Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UEFA backs Nasser Al-Khelaifi to challenge Infantino for FIFA presidency
-
European football leaders are exploring the possibility of persuading Paris
Saint-Germain president Nasser Al-Khelaifi to challenge FIFA president
Gianni...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment