Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 18 katika sare ya 1-1 na Genoa kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Allianz mjini Torino. Genoa walisawazisha dakika ya 67 kupitia kwa Daniel Bessa huku Ronaldo akiweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 400 kwenye Ligi tano za Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gunmen kill motorcyclist in Ekiti
-
A commercial motorcyclist, Mr Abejide Ojo, was on Thursday shot dead by
gunmen along Ilemeso-Isan- Ekiti road in Ekiti. The News Agency of Nigeria
(NAN) ...
Dakika 28 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni