Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 18 katika sare ya 1-1 na Genoa kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Allianz mjini Torino. Genoa walisawazisha dakika ya 67 kupitia kwa Daniel Bessa huku Ronaldo akiweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 400 kwenye Ligi tano za Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment