Kylian Mbappe akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza PSG dakika ya 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Marseille kwenye mechi ya mahasimu wa Ligue 1, Ufaransa maarufu kama Le Classique usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille. Bao la pili la PSG limefungwa na Julian Draxler dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Troops foil multiple abductions, rescue victims in Plateau, Kaduna
-
Joint Task Force troops have successfully foiled multiple abductions and
rescued several victims across vulnerable corridors in Plateau and Kaduna
states...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment