Kylian Mbappe akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza PSG dakika ya 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Marseille kwenye mechi ya mahasimu wa Ligue 1, Ufaransa maarufu kama Le Classique usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille. Bao la pili la PSG limefungwa na Julian Draxler dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bernard Tomic challenges Nick Kyrgios to stump up $1million for winner-takes-all tennis match
-
Bernard Tomic has told Nick Kyrgios to 'put your money where your mouth is'
and challenged his rival to take part in a winner-takes-all showdown worth
$2mi...
Dakika 19 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni