Kylian Mbappe akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza PSG dakika ya 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Marseille kwenye mechi ya mahasimu wa Ligue 1, Ufaransa maarufu kama Le Classique usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille. Bao la pili la PSG limefungwa na Julian Draxler dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Karim Benzema REFUSES a France retirement tribute in anger at being sent home from World Cup
-
PETER ALLEN IN PARIS: A 'hugely bitter' Karim Benzema snubbed a France
retirement tribute on the night new captain Kylian Mbappe fired the Blues
into a new...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment