Kylian Mbappe akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza PSG dakika ya 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Marseille kwenye mechi ya mahasimu wa Ligue 1, Ufaransa maarufu kama Le Classique usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille. Bao la pili la PSG limefungwa na Julian Draxler dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Mavs' Jason Kidd 'Hopeful' for Contract Extension in 2024
Offseason
-
Jason Kidd is looking to remain the head coach of the Dallas Mavericks for
the foreseeable future. Kidd, who is under contract through the 2024-25
season, is…
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment