RONALDO AONYESHA SAA YA ALMASI TUPU YENYE THAMANI KUBWA
Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo akionyesha saa yake ya Jacob&Co Caviar Tourbillon iliyotengenezwa kwa madini ya almasi yenye thamani ya Pauni Milioni 1.85, wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari jana kuelekea mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya klabu yake ya zamani, Manchester United leo Uwanja wa Old TraffordPICHA ZAIDI GONGA HAPA
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni