Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho akidhibitiwa asiende kugombana na mmoja wa makocha wasaidizi wa Chelsea, Marco Ianni leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mourinho alikasirishwa na kitendo cha Ianni kwenda kushangilia mbele yake baada ya Chelsea kupata bao la kusawazisha dakika ya mwisho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dwight Yorke backs Ange Postecoglou to be a success with Tottenham Hotspur in the Premier League
-
EXCLUSIVE: Dwight Yorke has backed Ange Postecoglou to be a success at
Tottenham, insisting it shouldn't be a surprise to see him in the Premier
League.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment