Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho akidhibitiwa asiende kugombana na mmoja wa makocha wasaidizi wa Chelsea, Marco Ianni leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mourinho alikasirishwa na kitendo cha Ianni kwenda kushangilia mbele yake baada ya Chelsea kupata bao la kusawazisha dakika ya mwisho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League suffer yet ANOTHER critical blow in UEFA coefficient
rankings after West Ham and Liverpool Europa League defeats... with hopes
of earning an extra Champions League spot all but over
-
It would take Aston Villa winning all of their remaining Europa Conference
League games and for German clubs to have an absolute disaster in their
European...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment