Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 63 na 66 kufuatia Mesut Ozil kufunga la kwanza dakika ya 45 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London. Bao la Leicester Arsenal walijifunga baada ya mpira uliipigwa na Ben Chilwell kumbabatiza Hector Bellerin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United F.C. News
-
Test your knowledge on our history in the Emirates FA Cup last four, ahead
of Sunday’s Wembley outing.
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment