Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 63 na 66 kufuatia Mesut Ozil kufunga la kwanza dakika ya 45 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London. Bao la Leicester Arsenal walijifunga baada ya mpira uliipigwa na Ben Chilwell kumbabatiza Hector Bellerin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Black Stars: Ghana FA should announce the new head coach soon- Alhaji GrunsahÂ
-
Veteran Ghanaian football administrator Alhaji Karim Grunsah has urged the
Ghana FA to announce a coach for the Black Stars ahead of the upcoming
Africa Cu...
Dakika 31 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni