Rafinha (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 32 kabla ya Jordi Alba kufunga la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Inter Milan kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Barcelona jana ilimkosa nyota wake, Lionel Messi ambaye ni majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Troops foil multiple abductions, rescue victims in Plateau, Kaduna
-
Joint Task Force troops have successfully foiled multiple abductions and
rescued several victims across vulnerable corridors in Plateau and Kaduna
states...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment