Rafinha (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 32 kabla ya Jordi Alba kufunga la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Inter Milan kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Barcelona jana ilimkosa nyota wake, Lionel Messi ambaye ni majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Match fixing scandal: Details of how Ashgold arranged to compromise Inter Allies game
-
The Ghana Football Association announced on Monday that AshantiGold had
been demoted to Division Two due to match-fixing allegations.The Miners
were found ...
Dakika 23 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni