Rafinha (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 32 kabla ya Jordi Alba kufunga la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Inter Milan kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Barcelona jana ilimkosa nyota wake, Lionel Messi ambaye ni majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mauricio Pochettino accuses his Chelsea players of 'giving up' in 5-0
London derby defeat at Arsenal as Blues boss blasts: 'When we have bad
days, we are so bad'
-
KIERAN GILL AT THE EMIRATES: This performance piled the pressure back on
Pochettino, who admitted they will never deserve European football if they
perform...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment