Rafinha (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 32 kabla ya Jordi Alba kufunga la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Inter Milan kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Barcelona jana ilimkosa nyota wake, Lionel Messi ambaye ni majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment