Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 17 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 54, Fernandinho dakika ya 56, Riyad Mahrez dakika ya 83 na Leroy Sane dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Andrew Symonds asked Cricket Australia for a pay cut so he could spend more time fishing
-
Andrew Symonds once offered to take a pay cut from Cricket Australia so he
could spend more time fishing, and less corporate appearances.
Dakika 21 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni