Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 17 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 54, Fernandinho dakika ya 56, Riyad Mahrez dakika ya 83 na Leroy Sane dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John Terry reveals Rio Ferdinand has blanked him on the beach in Dubai in a
bitter 14-year-long spat over claims the ex-Chelsea captain racially abused
his old team-mate's brother Anton
-
The allegation was made by Anton following a game between Chelsea and QPR
at Loftus Road in 2011. Terry has always denied abusing the ex-QPR centre
back, a...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment