Mshambuliaji wa Uholanzi, Memphis Depay akipambana na mchezaji wa Ubelgiji katika mchezo wa kirafiki usiku wa Jumanne Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Dries Mertens alianza kuifungia Ubelgiji dakika ya tano, kabla ya Arnaut Groeneveld kuisawazishia Uholanzi dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aikman, Staubach and Mahomes: How Cowboys & Chiefs Fans Win Autographed
Prize
-
Score an autographed Mahomes jersey and legendary Cowboys memorabilia by
joining our community, while the Chiefs superstar clears a major medical
hurdle in...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment