Mshambuliaji wa Uholanzi, Memphis Depay akipambana na mchezaji wa Ubelgiji katika mchezo wa kirafiki usiku wa Jumanne Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Dries Mertens alianza kuifungia Ubelgiji dakika ya tano, kabla ya Arnaut Groeneveld kuisawazishia Uholanzi dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jurgen Klopp offers curt response when questioned about sideline spat with
Mohamed Salah during draw at West Ham... as the furious forward warns 'If I
speak, there will be fire!'
-
Klopp dropped Salah for the pivotal visit to London and the Egyptian
striker was fuming at the decision, with the two having a sideline spat.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment