Mshambuliaji Luis Suarez wa Barcelona akishangilia kwa kuonyesha picha ya mtoto wake mpya na ujumbe; 'Welcome Lauti' baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 30 kwa penalti, 75 na 83 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Real Madrid kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 11 na A. Vidal dakika ya 87, wakati la Real limefungwa na Marcelo dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Football Focus host hammers BBC's 'crazy' decision to axe
long-running show at end of the season
-
The BBC's decision to axe Football Focus is 'crazy', according to a former
presenter of the long-running show, who was in the hotseat for 20 years.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment